United Republic of Tanzania
Parliament of Tanzania
UTANGULIZI
Shukrani
Mheshimiwa Naibu Spika, awali ya yote, naomba nitumie fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa fadhila na rehema kwa kutujaalia afya njema hadi leo hii tunapohitimisha Mkutano wa Kumi wa Bunge lako Tukufu ambao umetuweka mjini Dodoma kwa takriban wiki mbili.