Parliament of Tanzania

Hotuba ya Mhe. Kassim M. Majaliwa ( Mb.), Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akihitimisha Mkutano wa Tano wa Bunge la Kumi na Moja tarehe 11 Novemba, 2016.

UTANGULIZI

1. Mheshimiwa Spika, awali ya yote, naomba kutumia fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutulinda na kutufikisha salama siku ya leo tunapohitimisha Mkutano wa Tano wa Bunge lako Tukufu tuliouanza tarehe 1 Novemba, 2016.

Hon. Dr. Tulia Ackson

Speaker

Legislative Role

Profile

Ask the Speaker / Comments

Ms. Nenelwa J. Mwihambi

Clerk of the National Assembly

Legislative Role

Profile

Ask the Clerk / Comments

View All MP's